Posts

PICHA MBALIMBALI ZA SHULE

Image
Shule ya sekondari humura imebarikiwa kuwa na mandhari nzuri kwa wanafunzi na walimu na ina majengo mazuri na yenye kukidhi mahitaji ya kila muhitaji. Hizi ni baadhi ya picha zikionesha baadhi ya madarasa. uoto wa kutosha upo kwa wasomao maabara za jutosha kwa masomo yote ta sayansi baadhi ya ofisi za idara mbalimbali baadhi ya madarasa madarasa utajiri wa maji upo wa kutosha kama ilivyo desturi ya kagera                

Form ya kidato cha Tano 2019

Image
Shule ya secondari humura inakaribisha maombi ya kujiunga kidato cha tano kwa wanafunzi watakaokuwa na vigezo kulingana na mwongozo wa baraza la mitihani Tanzania Fomu ya kujiunga inapatikana katika link hapo chini    

ELIMU BORA NI NINI?

Image
ELIMU BORA NI NINI?   Na Mwalimu wa Sanaa Mitazamo ya wananchi kuhusu elimu bure imebadilika kwa kiasi kikubwa ndani ya miaka 12 iliyopita: mwaka 2005, zaidi ya nusu ya wananchi (56%) walisema kuwa ‘ni bora elimu itolewe bure kwa watoto wetu, hata kama kiwango cha elimu ni cha chini’. Mwaka 2017, wananchi 9 kati ya 10 (87%) wanasema ‘ni bora tukaongeza viwango vya elimu, hata kama itatulazimu kulipa ada.’ Wananchi 9 kati ya 10 (87%) wangependa serikali itumie fedha kwenye mpango wa kutoa mafunzo na kuwasaidia walimu kuliko kugawa sare za shule bure ikilenga kuwaondolea wazazi mzigo wa kununua sare hizo. Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika utafiti wake uitwao   Elimu Bora au Bora Elimu? Elimu waitakayo watanzania . Matokeo ya muhtasari huu yanatokana na takwimu za utafiti wa  Sauti za Wananchi , utafiti wa kwanza barani Afrika wenye uwakilishi wa kitaifa unaotumia simu za mikononi. Matokeo haya yanatokana na takwimu zilizokusanywa kutoka kwa wah...